Mkutano wa Kahama tulikuwa na kibali - Katambi Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA Patrobas Katambi amesema kwamba taifa ambalo linaendeshwa bila kufuata misingi ya kisheria kwa kushemu haki za binadamu na utawala bora ni hatari sana. Read more about Mkutano wa Kahama tulikuwa na kibali - Katambi