Tumewasajili wachezaji wawe wa muda mrefu-Mwambusi
Beki wa kulia wa Yanga, Hassan Kessy
Kocha msaidizi wa Klabu ya Yanga Juma Mwambusi amesema, wanaendelea kuwapa mazoezi wachezaji wapya waliosajiliwa na Klabu hiyo ili waweze kuendana na utamaduni wa Yanga.