Mchawi mweusi wa Tanga atamba kuing'oa Shelisheli

Nyota wa Serengeti Boys wakishangilia moja ya bao katika ushindi walioupata dhidi ya timu ya Taifa ya Misri.

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys Bakari Shime ametamba kuing'oa Shelisheli kwa kishindo katika mchezo wa marudiano utakaopigwa mwishoni mwa juma hili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS