Hussein Itaba atamba kumtwanga Ibra Tamba

Hussein Itaba akijifua tayari kumkabili Tamba jumamosi.

Katika kutafuta nafasi ya kucheza pambano kubwa la kimataifa na kuondoa ubishi baina ya mabondia Hussein Itaba na Ibrahim Tamba [Ibra Tamba] mwishoni mwa juma hili mzizi wa fitna utakatwa rasmi kwa mabondia hao chipukizi wenye vipaji kupambana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS