"Namuheshimu sana TID" - Bill Nas.

Msanii Bill Nas ambaye hivi karibuni amezua mzozo mkubwa na msanii TID ambaye amemsaidia kwa kiasi kikubwa kutoka kimuziki, amesema hapendezwi na kitendo cha kukosana naye kwani ni msanii ambaye anamuheshimu sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS