Ryan Giggs aamua kumkimbia Mourinho Man United

Kocha msaidizi ya Manchester United Ryan Giggs.

Ryan Giggs anajiandaa kuhitimisha miaka 29 ndani ya klabu ya Manchester United aliyojiunga nayo tangu akiwa kinda baadaye mchezaji wa kutegemewa na akamalizia mpira wake akiwa kama kocha msaidizi kwa makocha wa awamu mbili tofauti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS