Scolari ainyatia mikoba iliyoachwa na Roy Hodgson Luiz Felipe Scolari (pichani) mbele ya waandishi wa habari. Aliyewahi kuwa kocha wa timu ya Taifa ya Brazil Luiz Felipe Scolari amesema yupo tayari kukifundisha kikosi cha timu ya Uingereza endapo atapata nafasi ya kufanya hivyo. Read more about Scolari ainyatia mikoba iliyoachwa na Roy Hodgson