Wabunge watatu wa CHADEMA wapigwa Stop Bungeni Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewasimamisha kuhudhuria vikao kwa muda vipindi tofauti wabunge watatu wa Chadema, kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu pamoja na kusema uongo bungeni. Read more about Wabunge watatu wa CHADEMA wapigwa Stop Bungeni