Sukari bado tatizo nchini - Majaliwa

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa

Serikali imesema licha ya kuingiza tani nyingi za sukari nchi lakini bado kuna tatizo la sukari katika baadhi ya maeneo ya katika makao makuu za mikoa na wilaya kwa kuuzwa bei ya juu kuliko bei elekezi kwa hisia za kuwa bidhaa hiyo imeadimika nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS