Omog kuwasili leo, kusaini kuifundisha Simba SC

Kocha raia wa Cameroon Joseph Marius Omog

Kocha raia wa Cameroon Joseph Marius Omog anatarajiwa kuwasili usiku wa leo kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho na uongozi wa Simba kabla ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuifundisha klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS