Hakuna polisi wanaopiga raia Pemba- Masauni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Masauni amesema kwamba hakuna ukweli kwamba katika kisiwa cha Pemba kuna askari polisi wanapiga raia bali habari hizo ni zauongo na za kupuuzwa. Read more about Hakuna polisi wanaopiga raia Pemba- Masauni