Stand yasajili 14 kujiimarisha Ligi Kuu msimu ujao Stand United imeamua kumuongeza mkataba wa miaka miwili, Haruna Chanongo huku ikiongeza wachezaji wengine wapya wakiwemo kutoka nje ya Tanzania kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Read more about Stand yasajili 14 kujiimarisha Ligi Kuu msimu ujao