Sita wauawa kwenye mashambulizi nchini Kenya

Basi lashambuliwa katika kauni ya Mandera

Watu sita wameuawa nchini Kenya baada ya washambuliaji wanaoshukiwa kuwa wa kundi la itikadi kali la Al-Shabaab kuyafyatulia risasi mabasi mawili kaskazini mashariki mwa nchi hiyo karibu na mpaka na Somalia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS