Magufuli, Kagame waahidi kuboresha ushirikiano

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wafanyabiashara wa Rwanda kuwa bandari ya Dar es salaam ni salama kwa wao kupitisha mizigo na ameahidi kuwa Serikali inaendelea kuchukua hatua za kuiboresha bandari hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS