Kapombe, Wawa wapo Afrika Kusini kwa matibabu

Beki wa Azam FC, Shomary Kapombe

Nyota wawili wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Shomari Kapombe na Pascal Wawa hivi sasa wapo jijini Cape Town, Afrika Kusini kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS