Kapombe, Wawa wapo Afrika Kusini kwa matibabu Beki wa Azam FC, Shomary Kapombe Nyota wawili wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Shomari Kapombe na Pascal Wawa hivi sasa wapo jijini Cape Town, Afrika Kusini kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya zao. Read more about Kapombe, Wawa wapo Afrika Kusini kwa matibabu