Mauzo Soko la Hisa la Dar es Salaam yaongezeka

Meneja Miradi na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam - DSE, Patrick Mususa

Idadi ya mauzo katika soko la Hisa la Dar es Salaam imeongezeka kutoka shilingi bilioni 5.5 hadi shilingi bilioni tisa nukta tatu kwa mujibu wa taarifa ya mwenendo wa biashara katika soko hilo kwa kipindi cha juma moja lililopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS