Mauzo Soko la Hisa la Dar es Salaam yaongezeka
Idadi ya mauzo katika soko la Hisa la Dar es Salaam imeongezeka kutoka shilingi bilioni 5.5 hadi shilingi bilioni tisa nukta tatu kwa mujibu wa taarifa ya mwenendo wa biashara katika soko hilo kwa kipindi cha juma moja lililopita.