20 wauawa kwenye shambulio Bangladesh Moja ya Wahanga katika tukio la shambuli Mjini Bangladesh. Jeshi la Bangladesh limethibitisha kwamba watu wote 20 waliouawa katika shambulio la mgahawa mmoja katika mji mkuu Dhaka walikuwa raia wa kigeni. Read more about 20 wauawa kwenye shambulio Bangladesh