Afande Sele awawakia 'masharobaro' na 'madada duu'
Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Afande Sele ameongea na Enews na kuongelea swala la wasanii wengi wa kitanzania 'kufeki' maisha yao halisi ikiwemo kubadili hata rangi za ngozi zao na kujiongezea weupe na wakati mwingine hata kubadilisha asili yao.