Afande Sele awawakia 'masharobaro' na 'madada duu'

AFANDE SELE

Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Afande Sele ameongea na Enews na kuongelea swala la wasanii wengi wa kitanzania 'kufeki' maisha yao halisi ikiwemo kubadili hata rangi za ngozi zao na kujiongezea weupe na wakati mwingine hata kubadilisha asili yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS