Sera ya afya kwa raia haijabadilika- Kigwangalla

Naibu Waziri wa Wizara ya afya, ustawi wa jamii, jinsia wazee na watoto Dkt. Khamis Kigwangalla amesema kwamba sera ya wizara ya afya ya kuwahudumia wananchi kwa kutoa dawa bure kwa baadhi ya makundi katika jamii ipo palepale.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS