Mabasi ya City Boy marufuku kuendelea na safari Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa nchi kavu na Majini (SUMATRA), Bw. Gilliard Ngewe amesema mamlaka hiyo imesitisha safari za mabasi ya kampuni ya City Boy kutoa huduma ya usafirishaji abiria. Read more about Mabasi ya City Boy marufuku kuendelea na safari