China kuisaidia Tanzania kwenye ujenzi wa viwanda

Washiriki wa semina ya siku moja ya Kimataifa iliyoandaliwa na ubalozi wa China hapa nchini kuhusu viwanda.

Serikali ya China imeichagua Tanzania kuwa nchi ya mfano katika utekelezaji wa mpango wake wa kuhamishia viwanda barani Afrika katika kipindi ambacho Tanzania nayo imekuwa ikihamasisha ujenzi wa viwanda kama msingi na mhimili mkuu wa uchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS