Kessy na wenzake wanne wapitishwa na CAF

Hassan Kessy (kushoto), Juma Mahadhi (katikati) wakiwa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh wakati wa safari ya Uturuki.

Shirikishi la Soka Afrika (CAF), limepitisha majina ya wachezaji wanne wapya wa Yanga, kipa Benno David Kakolanya, Hassan Hamisi Ramadhan ‘Kessy’, Vincent Andrew Chikupe na Juma Hassan Mahadhi kucheza Kombe la Shirikisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS