Serikali yatoa maagizo kwa maafisa mipango miji

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Suleiman Jaffo.

Serikali imewataka maafisa mipango miji watumie vyanzo vya ndani vya halmshauri pamoja na kutumia taaluma kufanya mipango rafiki ya kijamii ili wananchi waishi katika mipango bora na kuepuka majanga yanayoweza kuepukika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS