Serikali yatoa maagizo kwa maafisa mipango miji
Serikali imewataka maafisa mipango miji watumie vyanzo vya ndani vya halmshauri pamoja na kutumia taaluma kufanya mipango rafiki ya kijamii ili wananchi waishi katika mipango bora na kuepuka majanga yanayoweza kuepukika.