Meneja akana Samatta kuelekea AS Roma ya Italia

Mshambuliaji Mtanzania Mbwana Samatta[jezi ya Bluu] akiwajibika katika klabu yake ya Genk ya Ubelgiji.

Suala la mshambuliaji Mbwana Samatta kuwa njiani kutua AS Roma ya Italia wakati likiendelea kusambaa kwa kasi mitandaoni, meneja wake amesema ni uzushi mtupu na mpaka sasa hakuna mazungumzo ya aina yoyote na timu hiyo ya ligi kuu ya Italia Seria A.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS