Wadau bayonuai,udhibiti viumbe pori wakutana Kenya

Nyumbu wa Masai Mara wanaohamahama kutoka Tanzania kwenda Kenya na kurudi.

Zaidi ya watu 250 wanaohusika na bayoanuai na udhibiti wa viumbe pori wanakutana Jijini Nairobi Kenya kuanzia jana hadi Juni 30, kujadili jinsi teknolojia ya angani inavyoweza kutumiwa katika kulinda viumbe pori na bayoanuai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS