Meneja akana Samatta kuelekea AS Roma ya Italia
Suala la mshambuliaji Mbwana Samatta kuwa njiani kutua AS Roma ya Italia wakati likiendelea kusambaa kwa kasi mitandaoni, meneja wake amesema ni uzushi mtupu na mpaka sasa hakuna mazungumzo ya aina yoyote na timu hiyo ya ligi kuu ya Italia Seria A.
