Pisheni magari ya zimamoto muyaonapo- Andengenye

Kamishna wa jeshi la zimamoto na uokoaji, Thobias Andengenye amewataka wananchi kote nchini kuheshimu kazi inayofanywa na jeshi la zimamoto hasa kwa kupisha magari hayo pindi wananchi wanapoyaona ili yaweze kuwahi katika maeneo ya majanga

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS