Mashindano ya Taifa mpira wa Meza kuanza Agosti 05 Mashindano ya Taifa ya mpira wa meza yanatarajiwa kufanyika Agosti 05 mpaka 08 mwaka huu jijini Dar es Salaam kwa kuwashirikisha wachezaji wa klabu zote za Tanzania Bara na Zanzibar. Read more about Mashindano ya Taifa mpira wa Meza kuanza Agosti 05