Magufuli amteua Prof Kabudi kuwa Mwenyekiti TIB Prof. Palamagamba J. A. M. Kabudi Rais ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Maendeleo ya TIB Prof. William Lyakurwa na kumteua Prof.Kabudi kushika nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu. Read more about Magufuli amteua Prof Kabudi kuwa Mwenyekiti TIB