Nitafuturu na wasiojiweza - Nisha
Msanii wa bongo fleva Nisha anategemea kuwafuturisha watu wasiojiweza tarehe 26/6/2016 viwanja vya Azania Lego ili kuweza kuwasaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu na wasiojiweza ikiwa kama moja kati ya sadaka zake ambazo atakuwa ametoa