Shindano la Masoko ya Mitaji na dhamana laanza

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko, Mitaji na Dhamana (CMSA), Nasama Masinda.

Shindano la Masoko ya Mitaji na dhamana kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu na taasisi za elimu ya juu imezinduliwa huku wanafunzi wakitakiwa kushiriki ili kuongeza uelewa kuhusu masuala ya mitaji ya masoko na dhamana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS