Mtoto wa miaka 16 akamatwa na silaha Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Agrey Mwanri.

Polisi Mkoani Tabora imekamata bunduki nne zilizokuwa zinatoroshwa ikiwa ni siku kadhaa baada ya Mkuu wa mkoa wa Tabora, Agrey Mwanri, kutoa wiki moja kwa ajili ya wanaomiliki silaha mkoani humo kuzisalimisha kwa hiyari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS