Mashabiki watachangia ushindi kesho -Cannavaro

Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub Ally Cannavaro

Nahodha wa Yanga Nadir Haroub Cannavaro amesema, anaamini timu wanayokutana nayo kesho ni kubwa lakini kila mchezaji amejiandaa kwa ajili ya kufanya vizuri katika mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS