Wakala wa Pogba aanza mazungumzo na Real Madrid
Kama kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson kuna kitu atakuwa akijutia hajakiacha ndani ya klabu hiyo, ni Paul Pogba, aliyemuuza kwenda Juventus mwaka 2012, na sasa nyota huyo anatakiwa na miamba ya Ulaya Real Madrid kwa dau kubwa