Serengeti kuwasili kesho, kuweka kambi Madagascar

Timu ya Taifa ya vijana Serengeti Boys inatarajia kuwasili nchini saa tisa ya usiku wa kuamkia hapo kesho ikitokea nchini Shelisheli katika mchezo wa marudiano wa kuwania kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS