Miyeyusho ayeyushwa kwa KO huko Jamhuri ya Czech
Ile desturi ya mabondia wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania kutofanya vema nje ya nchi katika mapigano yao ya kirafiki na kimashindano imeendelea tena mara baada ya bondia Francis Miyeyusho naye kupoteza pambano la ubingwa wa UBO ugenini nchini Czech
