Serikali yapiga marufuku uuzaji wa damu salama

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema Taifa lina uhaba mkubwa wa damu salama lakini wananchi hawana mwamko wa kuchangia damu kwa kuwa hata kama wakichangia wanapokuwa na wagonjwa hutakiwa kununua damu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS