Polisi wazuia Kongamano la ACT kujadili bajeti Kongamano la chama cha ACT wazalendo limeshindwa kufanyika hii leo baada ya Jeshi la Polisi Kushikilia msimamo wa kulizuia Kongamano hilo kwa madai kuwa linalenga kuchochea uvunjifu wa amani. Read more about Polisi wazuia Kongamano la ACT kujadili bajeti