Mahakama yatengua matokeo ya udiwani Saranga, DSM
Kata ya Saranga, Wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam sasa italazimika kurudi kwenye uchaguzi wa udiwani, baada ya kubaki wazi kufuataia uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutengua matokeo yaliyompa ushindi diwani aliyetangazwa.