Mahakama yatengua matokeo ya udiwani Saranga, DSM

Kata ya Saranga, Wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam sasa italazimika kurudi kwenye uchaguzi wa udiwani, baada ya  kubaki wazi kufuataia uamuzi wa Mahakama ya  Hakimu Mkazi Kisutu kutengua matokeo yaliyompa ushindi diwani aliyetangazwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS