Ajali ya basi yaua watano Misungwi mkoani Mwanza Kamanda wa polisi mkoa wa mwanza kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Ahmed Msangi Watu watano wamefariki dunia na wengine kumi na watatu kujeruhiwa baada ya ajali ya gari kugonga jiwe na kupinduka wilayani Misungwi, mkoani Mwanza Read more about Ajali ya basi yaua watano Misungwi mkoani Mwanza