Nchi zinazoendelea zinapaswa kusaidiwa-Dkt. Jakaya

Mwenyekiti wa jopo la ngazi ya juu la Umoja wa Mataifa kuhusu jitihada za kimataifa wakati wa mizozo ya kiafya Jakaya Kikwete.

Mwenyekiti wa jopo la ngazi ya juu la Umoja wa Mataifa kuhusu jitihada za kimataifa wakati wa mizozo ya kiafya Jakaya Kikwete amesema nchi zinazoendelea zinapaswa kusaidiwa kujenga mifumo ya afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS