Farid Musa sasa kwenda Hispania kwa mkopo

Kiungo wa Azam FC na Taifa Stars Faridi Musa akiwa nchini Hispania.

Klabu ya soka ya Azam FC imesema haikuwa na lengo la kukataa ofa ya usajili wa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Farid Musa Maliki ambaye amefuzu majaribio katika timu ya ligi daraja la kwanza nchini Hispania Derpotivo Tenerlife na kumpeleka kwa mkopo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS