LHRC yataka kuondolewa sheria kandamizi kwa watoto
Kituo cha sheria na haki za binaadamu nchini Tanzania (LHRC) kimesema kuwa kumekuwepo na takwimu nyingi zinazoonesha idadi ya watoto waliofanyiwa vitendo vya ukatili bila ya kuwepo na idadi ya wahalifu waliokamatwa