Mashali na Mwamakula kuwakilisha Taifa Venezuela
Sasa ni rasmi mabondia wawili wa ngumi za kulipwa nchini waliojitokeza kuungana na ngumi za ridhaa kwa ajili ya Olimpiki ndiyo wataiwakilisha nchini katika michuano ya kuwania tiketi ya kushiriki michuano ya Olimpiki huko Venezuela.