Watoto maskini milioni 69 hatarini kufariki

Watoto masikini wa kiafrika wakiwa darasani

Kutokana na mwelekeo wa sasa, watoto milioni 69 watafariki dunia mpaka ifikapo 2030 kutokana na sababu zinazoweza kuzuilika, huku watoto milioni 167, wakiishi katika umaskini, iwapo dunia haitaangazia zaidi hatma ya watoto maskini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS