Tanzania kuendeleza ushirikiano na Comoro

Makamu wa Rais Bi. wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa na Rais wa Comoro Azali Assoumani.

Rais wa Comoro Azali Assoumani, amesema serikali yake itaendelea kudumisha uhusiano na ushirikiano wa kihistoria kati ya Tanzania na Comoro katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu, afya na biashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS