TPSF na CESO zakubaliana kuwezesha sekta binafsi

Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Godfrey Simbeye (kulia) akiwa na Mshauri Mkuu wa CESO Bw. Jose Jacome muda mfupi kabla ya kusaini makubaliano hayo.

Taasisi ya Sekta Binafsi nchini Tanzania – TPSF, leo imesaini makubaliano na kampuni ya Canada ijulikanayo kama CESO kwa ajili ya kujenga uwezo sekta binafsi juu ya namna ya kuendesha miradi ya biashara na uwekezaji kwa lengo la kukuza uchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS