Atiwa mbaroni kwa tuhuma za 'kumchinja' dada yake Mponjoli Rodson Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Mkazi wa kijiji cha Wavu kata ya Shabaka wilayani Nyang'hwale mkoani Geita Shilinde Mbushi [41] akishirikiana na mwanaye Ndebile Shilinde [21] anadaiwa kumuua dada yake Kweji Mbushi [40] Read more about Atiwa mbaroni kwa tuhuma za 'kumchinja' dada yake