Polisi yawataka wanasiasa kuacha upotoshaji

Jeshi la polisi nchini Tanzania limevitaka vyama vya siasa nchini kuacha tabia ya kupotosha taarifa za kiusalama zinazohusu katazo la jeshi hilo la mikutano na maandamano ya vyama vya siasa visivyokuwa rasmi katazo lililotolewa na jeshi hilo Juni 7.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS