Ujenzi wa Meli mpya katika ziwa Victoria kuanza

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano katika mwaka wa fedha wa 2016/2017 imetenga shilingi bilioni 50.5 kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo hasa katika sekta ya uchukuzi kwa maswala ya usafiri wa majini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS