Man United kumtangaza Zlatan Ibrahimovic kesho

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic anayetajwa kujiunga na United.

Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu ujio wa mshambuliaji mrefu raia wa Sweden aliyekuwa akikipiga katika klabu ya PSG ya Ufaransa, hatimaye kesho klabu ya Manchester United inatarajia kumtangaza rasmi Zlatan Ibrahimovic kuwa mchezaji wake mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS