Watanzania waombwa kuisaidia Serengeti Boys
Ni wazi kuwa hakuna Mtanzania asiyeguswa na matokeo mazuri ya vijana wa timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys wanayopata kwa sasa tangu kuteuliwa kuunda timu hiyo kwaajili ya michuano ya kimataifa msimu huu