Faini ndogo kichocheo cha ajali barabarani- Mpinga

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani nchini Mohamed Mpinga amesema kwamba adhabu ambazo zimekuwa zikitolewa kwa madereva wa vyombo vya mato nchini kwa kuvunja sheria za barabarani adhabu hizo hazikidhi ndiyo maana matukio ya uzembe yanajirudia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS