Waziri Mkuu aahidi ukarabati wa Lindi Sekondari

Sehemu ya majengo ya Shule ya Sekondari Lindi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaahidi Walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Lindi kwamba Serikali itahakikisha miundombinu iliyoungua moto inakarabatiwa kwa haraka ili shughuli za masomo ziweze kuendelea kama awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS