Faini ndogo kichocheo cha ajali barabarani- Mpinga
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani nchini Mohamed Mpinga amesema kwamba adhabu ambazo zimekuwa zikitolewa kwa madereva wa vyombo vya mato nchini kwa kuvunja sheria za barabarani adhabu hizo hazikidhi ndiyo maana matukio ya uzembe yanajirudia.

