MV Magogoni kukamilika oktoba
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Prof makame Mbarawa amewataka wakandarasi wanaokarabati na kujenga vivuko vya Mv Magogoni na Mv Pangani kuongeza nguvu ili vivuko hivyo vikamilike kwa wakati na viweze kurahisisha usafiri