MV Magogoni kukamilika oktoba

Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Prof makame Mbarawa amewataka wakandarasi wanaokarabati na kujenga vivuko vya Mv Magogoni na Mv Pangani kuongeza nguvu ili vivuko hivyo vikamilike kwa wakati na viweze kurahisisha usafiri

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS