Serikali yakanusha kupunguza mishahara ya madaktar

Wizara ya afya, maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto imekanusha taarifa inayodai kuwa serikali imepanga kushusha mishahara ya madaktari kwa asilimia 30 sambamba na kufuta posho za wataalamu wa afya walio katika mafunzo kwa vitendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS