Manispaa yabaini mtindo mpya wa ukwepaji kodi
Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam imebaini uwepo wa wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa kuuza bidhaa zao ndani ya magari wanayoyaegesha maeneo yenye mikusanyiko ya watu wengi, kitendo kinachoikosesha manispaa hiyo mapato.