Vijana wengi wana ajira zisizokidhi mahitaji yao

Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama

Leo ikiwa ni siku ya ujuzi kwa vijana duniani , Shirika la kazi duniani ILO limesema licha ya takwimu za ajira kwa vijana kuongezeka, wasiwasi umesalia juu ya idadi ya vijana ambao wana kazi lakini ni masikini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS