Serikali kuunda chombo cha kudhibiti bei za dawa
Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania imesema ataunda chombo cha kudhibiti upandaji holela wa dawa pamoja na kuongeza uzalishaji wa dawa nchini ili kuondokana na vifo vinavyotokana na wagonjwa kukosa dawa kutokana