Watanzania watakiwa kusaidia wazee Waziri Ummy Mwalimu akiongea na wazee wanaotunzwa katika kituo cha Kilima wilayani Bukoba, alipowatembelea Watanzania wametakiwa kutenga muda kwa kuwasaidia wazee waishio kwenye mazingira magumu na wale wasiojiweza Read more about Watanzania watakiwa kusaidia wazee