Serikali yatakiwa kuwapa motisha walimu na ruzuku Serikali imetakiwa kulipa waalimu fedha kwa utendaji bora pamoja na kupeleka ruzuku ya uendeshaji moja kwa moja mashuleni ili kuboresha matokeo ya kujifunzia. Read more about Serikali yatakiwa kuwapa motisha walimu na ruzuku