Waziri Mkuu wa Uingereza kujiuzulu Oktoba Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron akiongea nje ya Downing Street Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amesema ataachia madaraka mwezi Oktoba, mwaka huu kufuatia Mataifa ya Umoja wa Kifalme wa UK, kupiga kura ya kujitoa Umoja wa Ulaya (EU). Read more about Waziri Mkuu wa Uingereza kujiuzulu Oktoba